Graduate Police Kills Self After Earning A Salary Of 18 Shillings

Date:

A graduate police officer on Tuesday committed suicide after he reportedly received a monthly salary of 18 Kenya shillings.

According to reports, the police took his life after the National Police Service (NPS) reduced salaries for graduate police officers.

The reduction of salaries imply that the officers who performed well in high schools and earned degrees will receive the same amount of money with those that scored grade D+ in the Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE).

“MJADALA WA LEO: Afisa mmoja wa polisi alizirai jana baada ya kupokea mshahara wa Sh18. Hiyo ni baada ya Tume ya Huduma za Polisi (NPS) kupunguza mishahara ya maafisa wa polisi walio na digrii. Maafisa hao sasa watalipwa mshahara sawa na wenzao waliopata alama ya D+ katika Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE). Je, unaunga mkono hatua ya NPS kuwa maafisa wa ngazi moja kikosini walipwe mshahara sawa bila kujali kiwango chao cha elimu? Kwa nini?” Reported the Modern Kenyan corp.

On the side of Kenyans, they had the following to say with regards to the reduction of teachers salaries:

“That’s very commendable, they joined the service as constables not cadets and they were very much aware of the salaries. They should not be opportunistic. The bitter it may be but that’s the truth.”

“I think it’s fair since nyinyi wote mnafanya kazi moja…if you feel u deserve better because of your degree tafuta kazi ya ulichosomea.”

“Kuna graduate constables who were receiving the same. They are earning as the guys you’re disrespecting as D+ guys. Where do you put them? Serkali iache upusi na watu walipwe kulingana na level of their education.”

“Kama hakuandikwa akiwa cadet na hakufuata procedure ya kusoma katika kikosi Bado yyeye ni D+ and above …. But kama NPS ilimpea ruhusa akasome alipwe.”

“Degree holders should serve in areas that their skills are critical. But if you are a degree holder and still on the road flagging down cars, then there is a big problem somewhere.”

“Mshahara hulipwa kulingana na kazi sio kiwango cha masomo, kwani mtu wa degree akiwa constable anafanya kazi tofauti na mwenye hana degree, angoje apandishwe cheo ndipo alipwe pesa zaidi.
Sasa ukipata degree ukiwa constable uongezwe mshahara ukipata masters uongezwe pesa halafu ukipata Phd pia uongezwe mshahara na kazi yako ni ya constable.”

“It isn’t fair give credit to where someone deserves, nilikuwa nimesema ntaingia polisi soon wee heri hustle yangu.”

“Hapo sasa itafanya maafisa wetu wa police, wajiingize kwenye temptation za kuitisha wanainchi hongo,inafaa serikari iyangazie hilo swala, ili afisa wa police asiumizwe sana kwa upande wa mshahara ,,imagn police mwenye anafanya kazi kama maeneo hatari kiusalama hapa inchini ,then apate mshahara wake umekatwa ukafikia hicho kiwango cha 18 ,enyewe hapo uta faint,kitu kingine hili swala LA ,D, +C plain, achaneni na mambo ya kuangalia masomo sana ,kitu inafaa muangalie niile bidii ya kikazi afisa wa police anafanya, unaeza kua ulipata alama ya A,lakini kwenye kazi wewe ni mlegevu ,serikari inapaswa iyangalie bidii ya afisa wa police kwenye kazi.”

“This is the bitter pill teachers swallowed long time ago. Hii Kenya after employment mambo na shule wachia watoto wako coz hii serikali hapana tambua masomo after.”

“Hii Ni mbaya Sana kulingana Na maoni yangu. Hii inaweza kusababisha askari kujiusisha Na ulaghai Na ualifu ili kulisha familia.”

“My opinion:. I would wish to remind the NPS not to pretend that everyone in th ranks deserve some started by buying certificate s to bribery in entering th service etc therefore this is unfair!!!”

“Naunga mkono kabiza, kila afisa anapaswa kulipwa kulingana na ngazi kikosini na sio vinginevyo kwa sababu majukumu ni yale yale kikosini.”

“I support Equity in all those categories since few of them are get higher salary and give order of irespectfull to junior. And when u look on them work on different environment with others but if they were afew be granted to access.”

“18 shillings cannot even settle mama mboga’s debts. It is these kind of acts that leads a person to life threatening conditions like hypertension. We should have value for school. They deserve salary rates of other degree holders.”

“Why are they backtracking on the policy? During our time right after the recruits course, your pay would be reviewed upwards and backdated to the very first date of appointment. Then you would be paid a lump some amount. One would earn a salary equivalent to an Inspector of police and the service would be forced to place you for special SoIP course and eventually promote you to that rank.”

“We are in a free market economy……ni soko huru….the best thing is to quit n seek employment elsewhere …..that’s what we used to do when Wahindi in industrial area used to under pay us in the name of we had degrees but lacked skills n experience.”

“Its really unfair ,this attracts emotional , finance &social of person thus moving to Court is an option ,2nd if is lowering Kenyan salaries could started with the new recruits.

“Hii Ni hatua mbaya NPS wanafaa kuelewa maafisa pia wako na familia ndio maana ufisadi katika kikosi Cha polisi haitawahi isha.”

“No wonder this people are less more of being human beings……lkn lucky enough mko na option? patrol kadha na ya macho mko safe.wengine that’s life tumezoea bila options.”

RELATED STORY:Nick Mwendwa Busted Escaping From Kenya, Red Alerts Issued At All Airports

1 COMMENT

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Share post:

Subscribe

spot_imgspot_img

Popular

More like this
Related

Sakaja Denies Ksh144 Million Misappropriation Claims

Nairobi Governor Johnson Sakaja has refuted claims that his...

UDA Makes Change, Creates New Leadership Position

United Democratic Alliance has amended its constitution to create...

Former Football Arrested in Connection With Gruesome Murder of Kisumu Businesswoman

Two suspects linked to the violent robbery and murder...

Betty Kyallo Sends Message to Viewers After Returning to TV

Renowned media personality and entrepreneur Betty Kyallo has joined...