Wewe Ni Kitu Bure- Angry Kakamega Voter Blasts Cleophas Malala

Date:

Kakamega senator Cleophas Malala has been exposed by the locals as a perennial thief who only does the work of stealing from other citizens.

According to one Kakamega voter who was addressing the people, he said that the  Kakamega senator is a well known thief within and outside Kakamega county.

“Cleophas Malala, wewe unajiulikana kwa wizi, wakati juzi ukaingia kwa senate ukapigia Waiguru kelele akakununulia nyumba. Tena umeendelea, umeenda ukaibia mtu anaitwa Rai, amekujengea nyumba kule kwetu Makunga mnaeza fikiri ni hoteli.

“Cleophas Malala nakuambia iyo mchezo ya uwizi ambayo unaendelea nayo usituletee. Wewe ni kitu bure, Juzi Mumias sugar company, mimi ni mtoto wa mkulima, mimi mwenyewe ni mkulima, tunakulia na machozi yangu na utaendelea kukonda mpaka ukufe!

“Ukaangusha Mumias, umeenda ukaambia yule Muhindi anaitwa Devki, akupatie one billion. Kwa nini wewe unaenda Devki akupatie one billion ndio sasa wewe uende utengenezee yeye wakubali akuje a invest hapa kwa Mumias sugar company.

“Devki tunakuita Malala is a nobody to Kakamega county! Sisis ndio wananchi tunakuomba Devki ile pesa alikuwa anataka kuja wazi uambie watu wa Kakamega na Kenya mzima ndio wajue uyu mtoto ni mwizi

“Malala nataka kumaliza ivi nikisema wewe ulienda kule ng’ambo ukajitoa tumbo na matako ukarudi kama umekonda ndio ukuwe na nguvu za kukimbia na kuchukua hongo. Sasa nikama uko na mpango ya kuenda kujibadilisha ukuwe mwanamke!

RELATED STORY: Ruto Allies Desperately Edit Raila’s Mt. Kenya Videos To Paint A False Picture

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Share post:

Subscribe

spot_imgspot_img

Popular

More like this
Related

NTSA Suspends 2 Saccos For Non-Compliance

The National Transport and Safety Authority (NTSA) has suspended...

Businessman Kidnapped, All His Bank Accounts Swiped Clean by Police Officers

Two police officers are among six people arrested in...

Politician Charged For Defrauding Businessmen Ksh24 Million

A Turkana county politician has been charged today before...

TUKTUK Service Introduced at JKIA

The Kenya Airports Authority (KAA) has introduced TukTuk Services...