Mwangi Kiunjuri’s Love For Koinange Malayas Made Him Wed At GunPoint- Cate Waruguru

Date:

Laikipia woman rep Cate Waruguru has exposed former agriculture cabinet secretary Mwangi Kiunjuri as a man who has high appetite for Koinange sex workers.

According to Cate Waruguru, Mwangi Kiunjuri at some point only specialized in going to pick random women at Koinange street and chewing them. She gave an example where Kiunjuri went to buy the services of a certain woman that currently stays in Nyandarua county.

This is what Cate Waruguru said in a lecture directed at Mwangi Kiunjuri:

“Unaeza kuwa na pesa kama ile ilikuwa na Kiunjuri 2013 akaangushwa na maskini Joshua Irungu ambaye anakuja tena kuangusha Mureithi na pesa yake. Kiunjuri kabla aongee kuhusu Waruguru na mabwana zangu, mumulize hatujasahau the Koinange street scandal. Ile mwanamke ulienda kununua kwao mimi ninajua anaishi Kasuku Nyandarua mimi namjua nitaenda kumchukua aseme alilipwa pesa ngapi.

“Ya pili Kiunjuri wewe ndio unajua wanawake wanazalisha watoto na nani na nikuambie kuzalisha kwangu ni kupenda kwangu mbegu ni mimi nachagua sichaguliwi mbegu na sijakuomba.

“Ya tatu kiunjuri ukienda Laikipia town kuna kijana anaitwa Munene ulizaa Munene wakati ulikuwa in your early days ukatupa uyo kijana na uyo mtoto ni mwerevu kumaliza wakati alikuwa anatafuta kiti ya mbunge umlimfukuza kama mbwa na ukasema asisaidiwe na alikuwa anazungushwa na Maina Njenga Laikipia na ukasema wewe humjui.

Anafanana na wewe uso kwa uso, kidevu kwa kidevu, pua kwa pua ni mtoto wako. Kiunjuri mimi nakupa ilani Laikipia tafuta wale watoto wako wanarandaranda Laikipia ulee. na kabla nimalizane na wewe, tutaambia dunia harusi yako ilifanywa ikismamiwa na polisi kwa sababu wale wanawake ulikuwa umedangaya hii Kenya walikuwa wengi.

Ule mama anafanya kazi na WASCO ulimtupa ukapata mwalimu ukaoa mwalimu. Uyo mama wa WASCO ulimfanya mpaka akashikwa na depression ukamnyang’anya mtoto ukamnyima adi haki ya kumwona tena. Ule mama ako na WASCo ni bibi yako enda umlishe. Na Kiunjuri hujawai niona na bakuli kwa mlango yako nikikuomba chakula. Wale watoto umezaa malaya wale umetupa enda kwanza safisha alafu ukuje uongelee maneno izi.

RELATED STORY: Hey Baba, Karibu Sana! Raila Odinga Receives ‘State Treatment’ After Landing In India(Video)

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Share post:

Subscribe

spot_imgspot_img

Popular

More like this
Related

Here are Changes Introduced to FA Starting Next Season

The FA and the Premier League have reached a...

Fugitive Kelvin Kangethe Denied Bond

Milimani Law Courts Chief Magistrate Hon. Lucas Onyina has...

Chopper Carrying KDF Officers Crashes

Government Spokesperson Isaac Mwaura has cautioned Kenyans from speculating...

KDF Responds on Confrontation and Arrest of Soldiers in Lodwar

Kenya Defence Forces (KDF) has denied reports that its...